Kama picha inavyoonesha mawe haya madogo hupangwa kwa kuunganishwa karibu juu ya surface ngumu iliyoandaliwa maalumu, na baadae kukaziwa na mchanganyiko wa sementi na mchanga kwenye maunganiko. Haya hutumiak kama mbadala wa paving blocks, slabs, tiles ama screeding ya kawaida.
TRA Dodoma Yasisitiza Ulipaji Kodi kwa Wakati Ili Kusaidia Maendeleo
-
Na. Yahya Saleh, Dodoma
Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Dodoma Bw. Pendolake
Elinisafi amewataka wafanyabiashara kuhakikisha wanalipa ko...
1 hour ago
1 Reviews:
Kazi nzuri....nimependa hii ya kutumia mawe ya mtoni ..inavutia
Post a Comment