Kama picha inavyoonesha mawe haya madogo hupangwa kwa kuunganishwa karibu juu ya surface ngumu iliyoandaliwa maalumu, na baadae kukaziwa na mchanganyiko wa sementi na mchanga kwenye maunganiko. Haya hutumiak kama mbadala wa paving blocks, slabs, tiles ama screeding ya kawaida.
MRADI WA KIJANA TOGORA KUFIKIA VIJANA ZAIDI YA 1000 JIJINI TANGA
-
Na Oscar Assenga, TANGA
MRADI wa Kijana Togora tunakusikiliza unaotekeleza na Taasisi ya Afya Cheki
chini ya Programu ya Tanga Yetu unaofadhiliwa na Botn...
22 minutes ago
1 Reviews:
Kazi nzuri....nimependa hii ya kutumia mawe ya mtoni ..inavutia
Post a Comment