Kama picha inavyoonesha mawe haya madogo hupangwa kwa kuunganishwa karibu juu ya surface ngumu iliyoandaliwa maalumu, na baadae kukaziwa na mchanganyiko wa sementi na mchanga kwenye maunganiko. Haya hutumiak kama mbadala wa paving blocks, slabs, tiles ama screeding ya kawaida.
KAYOMBO AWAAGA TIMU YA ARUSHA SHIMISEMITA, ATOA WITO WA KUREJEA NA VIKOMBE
-
KAYOMBO AWAAGA TIMU YA ARUSHA SHIMISEMITA, ATOA WITO WA KUREJEA NA VIKOMBE
Na Woinde Shizza, Arusha
MKURUGENZI wa Jiji la Arusha, Kayombo, amewaaga ...
8 hours ago

1 Reviews:
Kazi nzuri....nimependa hii ya kutumia mawe ya mtoni ..inavutia
Post a Comment