Kama picha inavyoonesha mawe haya madogo hupangwa kwa kuunganishwa karibu juu ya surface ngumu iliyoandaliwa maalumu, na baadae kukaziwa na mchanganyiko wa sementi na mchanga kwenye maunganiko. Haya hutumiak kama mbadala wa paving blocks, slabs, tiles ama screeding ya kawaida.
WANAJUMUIYA INADES WATAKA KUANZISHWA MIRADI ZAIDI YA KILIMO KUVUTIA VIJANA
KUJIAJIRI
-
Wanajumuiya wa Shirika la INADES Formation Tanzania wamelitaka shirika hilo
kubuni miradi ya kilimo itakayosaidia kuwavutia vijana kuingia katika sekta
h...
15 hours ago

1 Reviews:
Kazi nzuri....nimependa hii ya kutumia mawe ya mtoni ..inavutia
Post a Comment