
Katika kiondokana na adha ya uharibifu wa mazingira kwa kukata miti ili kupata mbao za kujengea, teknolojia mpya ya kupauwa nyumba kwa kutumia chuma chepesi imeingia sokoni!
Chuma hizi nyeepesi kabisa na imara, zinakuepusha na hofu ya mchwa na paa kushuka kwa kuharibika mapema. Uimara wake ni wa kiwango cha juu. Hakishiki kutu, ni chepesi, kinafungika kirahisi, imara kwa paa, na linahimili janga la moto.
Kwa wanaohitaji chuma hiki wawasiliane na Mr. Quality East Africa Ltd kwa simu 0659781978
Endelea kutembelea blogu yako hii itakukutanisha na wataalamu mbalimbali na wabunifu wa bidhaa na mitindo ya ujenzi.
KAMPASI YA TPSC TABORA YATOA MISAADA NA KUFANYA USAFI - KITUO CHA WAZEE
IPULI-TABORA
-
Tarehe 21 Februari 2026,
Katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 25 ya Chuo cha Utumishi wa
Umma Tanzania (TPSC), Kampasi ya Tabora imefanya zia...
6 hours ago

0 Reviews:
Post a Comment