Kampuni ya sarujli ya Lafarge Tanzania imezindua simenti maalumu iliyopewa jina la Tembo Fundi ambayo ni kwa ajili ya kazi za uashi ikiwa ni pamoja na upigaji plasta ukutani, kusakafia, kujengea matofali, na kupangilia marumaru.
Kwa mujibu wa Mtendaji Mkuu wa kampuni hiyo, Ilse Boshoff, simenti hii imetengenezwa maalumu kuwezesha shughuli za ujenzi kuwa bora zaidi.
Tembo Fundi imetengeneza kuwa rahisi kuitumia katika kupiga plasta, tofauti na saruji ya matumizi ya jumla ambayo itamchukua mwashi muda mrefu katika kusawazisha ukuta, huku ikitumia maji kidogo na kuwa na ubora mzuri.
Mfano wa nyumba iliyopigwa plasta kwa simenti ya kawaida/ya jumla
TASAC YANUNUA BOTI MBILI ZA UTAFUTAJI NA UKOAJI TANGA NA KIGOMA
-
Kaimu Meneja wa Usajili na Ukaguzi wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania
(TASAC) Mhandisi Said Kaheneko akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana
na u...
2 hours ago

0 Reviews:
Post a Comment