• Unataka Kujenga Ukuta Imara wa Nyumba Yako Utakaodumu Muda Mrefu?

    Ukuta wa nyumba ni sehemu muhimu na ya kudumu katika jengo lolote. Huweka uimara wa jengo na kudhibiti joto la nje na la ndani sambamba na kuweka usiri wa vitu vilivyomo ndani ya jingo. Hutoa ulinzi na kuweka usalma dhidi ya matukio ya hatari na wizi kwa vitu ama watu waliomo ndani.

  • Tunakosa nini Tusipotumia Wataalamu katika Ujenzi Wetu?

    Kushirikisha wataalamu kunatoa fursa ya kujua mbinu mpya na bora za ujenzi, kufaahamu vifaa vya ujenzi na sifa zake, kujua namna ya kupata gharama nafuu za ujenzi na usanifu majengo kuendana na ndoto yako binafsi.

  • Unafahamu Nini Ukinunua Simenti Imeandikwa 32.5N au 42.5N?

    Kuna madaraja matatu ya ubora/uimara wa simenti/saruji ambayo ni uimara wa chini 32.5, uimara bora zaidi ya ule wa chini 42.5 na uimara wa juu zaidi 52.5. Saruji ya gredi 52.5 bado haijaanza kuzalishwa kwa soko la Tanzania. Hii ni kusema kwamba tuna gredi ya 32.5 na 42.5 tu.Simenti ya daraja la chini la ubora 32.5 inafaa zaidi kwa matumizi ya plaster na kazi ndogo ndogo, na ile ya daraja la juu zaidi yani 42.5 inafaa zaidi kwa kazi za zege kama nguzo, bimu, slabu, madaraja n.k kutokana na uimara wake kuwa mkubwa zaidi.

Saturday, December 15, 2012

JK AZINDUA NYUMBA ZA BEI NAFUU ZA NHC KIBADA, KIGAMBONI,DAR

Rais Jakaya Kikwete (alivaa koti la rangi ya maziwa) akikagua moja kati nyumba 290 za bei nafuu zinazojengwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) eneo la Kibada, Kigamboni Dar es Salaam Desemba 13,2012. Kushoto kwake ni Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Mchechu.(PICHA NA RICHARD MWAIKENDA) JK akisalimiana...

IKULU:RAIS JAKAYA KIKWETE AKABIDHI NYUMBA MPYA 35 ZA WALIOATHIRIKA NA MILIPUKO YA MABOMU YA GONGO LA MBOTO JANA JIJINI DAR ES SALAAM

Picha juu ni Baadhi ya  nyumba mpya 35 ambazo serikali imewajengea waathirika wa mabomu Gongo la Mboto  katika eneo la Msogole, Toangoma, Wilaya ya Ilala kama zinavyoonekqana  leo Desemba 13, 2012 baada ya kuzinduliwa na Rais Jakaya Mrisho Kikwete kujali mvua kubwa inayonyesha,...

Saturday, December 8, 2012

MAONESHO YA NYUMBA YAANZA DAR

  Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana (katikati) akikata utepe kuzindua rasmi maonesho ya Nyumba yaliyoandaliwa na Kampuni ya Tanzania Home Export kwenye viwanja vya Mlimani City, Dar es Salaam kwa siku tatu kuanzia leo.Kushoto ni Mkurugenzi wa Matukio wa kampuni hiyo,Zeno Ngowi na...